Chargement…
0 0 avis
Vues : 41

Mapande agriculture Advantages

Terres arables et cultures > Système d'irrigation

Garantie Yes

Condition : Nouveau (elle)

ID: 25229

TZS200,000.00

Les enchères se terminent dans
00
Jours
00
Heures
00
Minutes
00
Seconds
  • Type: Kuuza

Description:

TUNAUZA DRIP IRRIGATION PIPE | MIPIRA INAYOTUMIKA KWENYE UMWAGILIAJI WA MATONE
Call/Text/WhatsApp: 0787 29 95 05
Urefu ni 1,000m
Bei ni 200,000Tsh
Vipimo
-1000m, 30cm spacing. K1600
-1000m, 20cm spacing. K1800
- Thickness 0.4mm
Drip irrigation pipe ni mipira inayotumika kwenye kilimo cha mwagiliaji wa matone, yaani Drip irrigation system.
Umuhimu wa kutumia mfumo wa umwagiliaji maji kwa njia ya dripu zinazomwaga matone kidogo kidogo.
1. Matumizi ya maji yanakuwa kidogo sababu yanamwaga katika mche husika.
2. Mimea inapata maji katika kiwango stahiki hivyo inapunguza mimea kuathiriwa na ukungu.
3. Unapangilia muda mzuri wa umwagiliaji maji.
4. Ni njia rahisi ya kusambaza dawa kwa njia ya maji na dawa kupenya vizuri katika udongo.
5. Inapendezesha shamba lako linakuwa katika mpangilio mzuri pia ni rahisi kulihudumia shamba.
Licha yaa kuuza drip pipe, Mapande agriculture advantage tunatoa huduma ya kufunga mifumo mbalimbali ya umwagiliaji.
#dripirrigation #mifumoyaumwagiliaji #dripirrigationpipe #dripirrigationsystem #kilimochamatone #kilimochaumwagiliaji #kilimochakisasa #dripirrigationpipes #umwagiliajiwamatone
Office zetu zipo @mbagala rangi 3 -Barabara ya kwenda kongowe puma Petro station @opposite na Daraja la juu mbagala rangi 3 - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Simu:
255 787 299 505(WhatsApp)
255 620 613 260
Email:mapandefarm@yahoo.com

SAFETY FOR ALL : MUST LOGIN OR SIGNUP TO VIEW THE PHONE NUMBER !

Mention UMOJAAA when calling the Ad owner to get a good deal!

This will also help build trust among all users of the platform.

Note: If you haven't found exactly what you're looking for, post your ad and mark it as: 'Wanted'. POST HERE

 

Emplacement:

Unnamed Road, Dar es Salaam, Tanzania

État soumissionnaire

Enchère totales 0
Enchère la plus élevée TZS0.00
Enchère la plus basse TZS0.00

l' enchère

*Votre numéro de téléphone sera montré à l'auteur de l'annonce

    Écrire un avis

    Sélectionnez un fichier Sélectionnez un fichier

    TZS200,000.00

    Les enchères se terminent dans
    00
    Jours
    00
    Heures
    00
    Minutes
    00
    Seconds
    Conseils de sécurité sur UMOJAAA
    1. Always meet face to face - bring someone with you and meet in a public place. If a seller comes to your home or workplace, ask someone to accompany you and ask the buyer for ID.
    2. Never send or wire money to someone you don't know or trust.
    3. Always inspect the item before agreeing to a sale.
    4. Use common sense. If something sounds too good to be true, it probably is.
    5. We believe these forms of money transfer are favored by fraudsters, so don't take the risk.
    6. Always use common sense: More info. on how to stay safe at UMOJAAA Online Marketplace, CLICK HERE
    App Android
    App Android
    Top