TZS200,000.00

 ( TZS )

Description

Type : Sell
Condition : New
Warranty : Yes
Location : Unnamed Road, Dar es Salaam, Tanzania
TUNAUZA DRIP IRRIGATION PIPE | MIPIRA INAYOTUMIKA KWENYE UMWAGILIAJI WA MATONE
Call/Text/WhatsApp: 0787 29 95 05
Urefu ni 1,000m
Bei ni 200,000Tsh
Vipimo
-1000m, 30cm spacing. K1600
-1000m, 20cm spacing. K1800
– Thickness 0.4mm
Drip irrigation pipe ni mipira inayotumika kwenye kilimo cha mwagiliaji wa matone, yaani Drip irrigation system.
Umuhimu wa kutumia mfumo wa umwagiliaji maji kwa njia ya dripu zinazomwaga matone kidogo kidogo.
1. Matumizi ya maji yanakuwa kidogo sababu yanamwaga katika mche husika.
2. Mimea inapata maji katika kiwango stahiki hivyo inapunguza mimea kuathiriwa na ukungu.
3. Unapangilia muda mzuri wa umwagiliaji maji.
4. Ni njia rahisi ya kusambaza dawa kwa njia ya maji na dawa kupenya vizuri katika udongo.
5. Inapendezesha shamba lako linakuwa katika mpangilio mzuri pia ni rahisi kulihudumia shamba.
Licha yaa kuuza drip pipe, Mapande agriculture advantage tunatoa huduma ya kufunga mifumo mbalimbali ya umwagiliaji.
#dripirrigation #mifumoyaumwagiliaji #dripirrigationpipe #dripirrigationsystem #kilimochamatone #kilimochaumwagiliaji #kilimochakisasa #dripirrigationpipes #umwagiliajiwamatone
Office zetu zipo @mbagala rangi 3 -Barabara ya kwenda kongowe puma Petro station @opposite na Daraja la juu mbagala rangi 3 – Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Simu:
255 787 299 505(WhatsApp)
255 620 613 260
Email:mapandefarm@yahoo.com

This is also available in: French Swahili

--------------------------------------------------------------

SAFETY FOR ALL : MUST SIGN IN OR REGISTER TO VIEW PHONE NUMBER!

Mention UMOJAAA when calling seller to get a good deal!

It will help also establish a trusting relationship among all users on the platform.

Note: If you have not found exactly what you are looking for, Post your Ad and mark it as: 'Wanted'. POST HERE

 

Location

Unnamed Road, Dar es Salaam, Tanzania

Bids

*Your phone number will be shown to post author
Write a Review

Bidding Stats

There is no bid yet.

SAFETY TIPS ON UMOJAAA
  1. Always meet face to face - take someone with you and meet in a public place. If a seller is coming to your home or workplace, arrange to have someone with you and ask the buyer to produce ID. 
  2. Never send or wire money to someone you don’t know or trust.
  3. Always inspect the item before agreeing to a sale.
  4. Use common sense. If something sounds too good to be true - it probably is.
  5. It is our belief that these forms of funds transfers are favoured by fraudsters, so don't risk it.
  6. Always use common sense: More Info. on how to stay safe on UMOJAAA Marketplace, CLICK HERE
Top