Inapakia…
0 0 Maoni
Waliotazama: 91

APARTMENT TATU VINAUZWA KIMARA TEMBONI

Real Estate: Hoteli, Ukodishaji na Mauzo > Uuzaji wa Makazi > Mali inayouzwa

Udhamini Yes

  • Kimara Temboni,...Tazama ramani
  • Ilichapishwa mnamo 21 January 2023

ID: 15611

  • Aina: Sell

Maelezo:

APARTMENT TATU ZIKO SOKONIBei TZS 265 Milioni Majadiliano
Eneo Kimara Temboni
Kila Apartment ina vyumba 3 vya kulala, master bedroom moja, sebule, Jiko, chumba Cha kulia na store
Kiwanja kina ukubwa wa mita za mraba 1200
Hati Safi ya Kimiliki inapatikana
Pia ina muafaka 6 za Duka
Apartment zote zina Wapangaji ambao wanalipa 350,000 / kila moja

 

Kwa maelezo zaidi na mazungumzo Tafadhali, wasiliana nami kwa mojawapo ya mbinu zinazotolewa na UMOJAAA kwenye ukurasa huu wa chapisho.

USALAMA KWA WOTE : LAZIMA INGIA AKAUNTI OR JISAJILI ILI KUPATA NAMBA YA SIMU!

Taja UMOJAAA unapompigia simu muuzaji kupata ofa nzuri!

Itasaidia pia kuanzisha uhusiano wa kuaminiana kati ya watumiaji wote kwenye jukwaa.

Kumbuka: Ikiwa haujapata kile unachotafuta, Chapisha Tangazo lako na uweke alama aina: 'INATAFUTWA'. CHAPISHA HAPA

 

Mahali:

Kimara Temboni, Dar Es Salaam Tanzania

    Andika maoni

    Chagua Faili Chagua Faili
    Vidokezo vya usalama kwenye UMOJAAA
    1. Wakati wote kukutana uso kwa uso - Kwenda na mtu pamoja nawe, pia kukutana katika mahali pa umma. Ikiwa muuzaji anakuja nyumbani kwako au mahali pa kazi, panga kuwa na mtu na umwombe mnunuzi akuonyeshe kitambulisho.
    2. Usiwahi kutuma pesa kwa njia ya waya, kidijitali kwa mtu usiyemjua au kumwamini.
    3. Kagua bidhaa kila wakati kabla ya kukubali mauzo.
    4. Tumia akili. Ikiwa kitu kinasikika kuwa kizuri sana kuwa kweli - labda ni sahihi, kwa hiyo kaa mbali nacho.
    5. Ni imani yetu kuwa aina hizi za uhamishaji fedha mitandaoni hupendelewa na walaghai, kwa hivyo usiihatarishe.
    6. Tumia akili kila wakati: Maelezo Zaidi. jinsi ya kukaa salama kwenye Soko la dijiti la UMOJAAA, BOFYA HAPA
    Android App
    Android App
    Juu