Inapakia…
0 0 Maoni
Waliotazama: 119

Shamba Ekari 110 lipo handeni komkonga linauzwa

Ardhi ya kilimo & Mazao > Ardhi ya Kilimo

Nchi: Tanzania > Tanga

Udhamini N/A

ID: 40931

  • Aina: Sell

Maelezo:

Shamba Ekari 110 lipo handeni komkonga linauzwa

kutoka main road mpaka shambani ni kilometer 25 mwendo wa dakika si zaid ya 20

Kuna barabara inayopitika muda wote mpaka shambani,

shamba linafaa kwa kilimo na ufugaji kwani ardhi yake ni nzuri yenye rutuba unaweza kupamba mwamba wa maji upo karibu sana.

Kuna bonde unaloweza kutengeneza ukalifanya bwawa la kuhifadhia maji mvua ikinyesha kwaajili ya kunyweshea mifugo.

Bei ni lak 3 tu kwa ekari mazungumzo yapo shamba lina hati ya kijiji

Kwa Kuangalia na maelezo zaidi, Jisikie Huru Kuwasiliana

Kwa maelezo zaidi na mazungumzo Tafadhali, wasiliana nami kwa mojawapo ya mbinu zinazotolewa na UMOJAAA kwenye ukurasa huu wa chapisho.

USALAMA KWA WOTE : LAZIMA INGIA AKAUNTI OR JISAJILI ILI KUPATA NAMBA YA SIMU!

Taja UMOJAAA unapompigia simu muuzaji kupata ofa nzuri!

Itasaidia pia kuanzisha uhusiano wa kuaminiana kati ya watumiaji wote kwenye jukwaa.

Kumbuka: Ikiwa haujapata kile unachotafuta, Chapisha Tangazo lako na uweke alama aina: 'INATAFUTWA'. CHAPISHA HAPA

 

Mahali:

Komkonga, Handeni, Tanga, Tanzania

    Andika maoni

    Chagua Faili Chagua Faili
    Vidokezo vya usalama kwenye UMOJAAA
    1. Wakati wote kukutana uso kwa uso - Kwenda na mtu pamoja nawe, pia kukutana katika mahali pa umma. Ikiwa muuzaji anakuja nyumbani kwako au mahali pa kazi, panga kuwa na mtu na umwombe mnunuzi akuonyeshe kitambulisho.
    2. Usiwahi kutuma pesa kwa njia ya waya, kidijitali kwa mtu usiyemjua au kumwamini.
    3. Kagua bidhaa kila wakati kabla ya kukubali mauzo.
    4. Tumia akili. Ikiwa kitu kinasikika kuwa kizuri sana kuwa kweli - labda ni sahihi, kwa hiyo kaa mbali nacho.
    5. Ni imani yetu kuwa aina hizi za uhamishaji fedha mitandaoni hupendelewa na walaghai, kwa hivyo usiihatarishe.
    6. Tumia akili kila wakati: Maelezo Zaidi. jinsi ya kukaa salama kwenye Soko la dijiti la UMOJAAA, BOFYA HAPA
    Android App
    Android App
    Juu