Soko ambapo kila mtu anaweza kuuza au kununua karibu chochote. Ondoa
Ardhi ya kilimo & Mazao > Ardhi ya Kilimo
Udhamini N/A
ID: 40931
Shamba Ekari 110 lipo handeni komkonga linauzwa
kutoka main road mpaka shambani ni kilometer 25 mwendo wa dakika si zaid ya 20
Kuna barabara inayopitika muda wote mpaka shambani,
shamba linafaa kwa kilimo na ufugaji kwani ardhi yake ni nzuri yenye rutuba unaweza kupamba mwamba wa maji upo karibu sana.
Kuna bonde unaloweza kutengeneza ukalifanya bwawa la kuhifadhia maji mvua ikinyesha kwaajili ya kunyweshea mifugo.
Bei ni lak 3 tu kwa ekari mazungumzo yapo shamba lina hati ya kijiji
Kwa Kuangalia na maelezo zaidi, Jisikie Huru Kuwasiliana
Kwa maelezo zaidi na mazungumzo Tafadhali, wasiliana nami kwa mojawapo ya mbinu zinazotolewa na UMOJAAA kwenye ukurasa huu wa chapisho.
USALAMA KWA WOTE : LAZIMA INGIA AKAUNTI OR JISAJILI ILI KUPATA NAMBA YA SIMU!
Taja UMOJAAA unapompigia simu muuzaji kupata ofa nzuri!
Itasaidia pia kuanzisha uhusiano wa kuaminiana kati ya watumiaji wote kwenye jukwaa.
Kumbuka: Ikiwa haujapata kile unachotafuta, Chapisha Tangazo lako na uweke alama aina: 'INATAFUTWA'. CHAPISHA HAPA
Komkonga, Handeni, Tanga, Tanzania
Gihanga, Burundi
Gihanga, Burundi
Zone Bubira, Bujumbu...
Rumonge, Burundi
Choma, Zambia
mbisamike@gmail.com
Gihanga, province Bu...
Mazabuka, Southern P...
Shamba Ekari 110 lipo handeni komkonga linauzwa kutoka main road mpaka shambani ni kilometer 25 mwendo wa dakika si zaid ya 20 Kuna barabara inayopitika muda wote mpaka shambani, shamba linafaa kwa kilimo na ufugaji kwani ardhi yake ni nzuri yenye ru...
https://www.umojaaa.com/sw/ad/shamba-ekari-110-lipo-handeni-komkonga-linauzwa/
Copyright 2021 © Umoja Auctions and Ads | UMOJAAA Haki zote zimehifadhiwa | Home | Mwongozo | Wasiliana nasi | Chapisha Tangazo.