NYUMBA NZURI YA MBEYA TOWN INAHITAJI MILIONI 60 MAZUNGUMZO
️Ina vyumba vitatu, kimoja master, sebule, Jiko, chumba cha kulia, Store, choo cha ndani, Madrisha ya Aluminium, Grill Doors, Well fenced, Strong Gate, Tiles, Gypsum.
Hati Safi ya Hakimiliki inapatikana, Kiwanja kina ukubwa wa mita za mraba 800, Ujirani Mwema, umeme na maji vinapatikana.
0752111140
Vinginevyo:
Kwa maelezo zaidi na mazungumzo Tafadhali, wasiliana nami kwa mojawapo ya mbinu zinazotolewa na UMOJAAA kwenye ukurasa huu wa chapisho.
Chapisho hili pia linapatikana katika:
USALAMA KWA WOTE : LAZIMA INGIA AKAUNTI OR JISAJILI ILI KUPATA NAMBA YA SIMU!
Taja UMOJAAA unapompigia simu muuzaji kupata ofa nzuri!
Itasaidia pia kuanzisha uhusiano wa kuaminiana kati ya watumiaji wote kwenye jukwaa.
Kumbuka: Ikiwa haujapata kile unachotafuta, Chapisha Tangazo lako na uweke alama aina: 'INATAFUTWA'. CHAPISHA HAPA
Zabuni