Inapakia…
0 0 Maoni
Waliotazama: 54

NYUMBA MPYA YA KIPEKEE INAUZWA KIGAMBONI KIBADA

Real Estate: Hoteli, Ukodishaji na Mauzo > Uuzaji wa Makazi > Mali inayouzwa

Udhamini N/A

  • Kigamboni Kibad...Tazama ramani
  • Ilichapishwa mnamo 04 December 2024

ID: 45168

  • Aina: Sell

Maelezo:

NYUMBA MPYA YA KIPEKEE INAUZWA Nyumba hii nzuri iliyopo Kigamboni Kibada Dar es salaam ipo sokoni Nyumba iko katika barabara nzuri zaidi, karibu na barabara ya lami Nyumba ina vyumba 4 vya kulala na bafu 3, sebule kubwa, jiko la kisasa, chumba cha kulia, duka kubwa, chumba cha kusoma. Ndani ya kiwanja kuna cotter na 2bedrooms, jikoni Ukubwa wa eneo SQM 1140, Bustani nzuri katika eneo lote Hati miliki safi inapatikana Kwa bei nafuu milioni 450 mazungumzo kidogo unaweza kumiliki nyumba hii nzuri

Kwa Kuangalia na maelezo zaidi, Jisikie Huru Kuwasiliana

Kwa maelezo zaidi na mazungumzo Tafadhali, wasiliana nami kwa mojawapo ya mbinu zinazotolewa na UMOJAAA kwenye ukurasa huu wa chapisho.

USALAMA KWA WOTE : LAZIMA INGIA AKAUNTI OR JISAJILI ILI KUPATA NAMBA YA SIMU!

Taja UMOJAAA unapompigia simu muuzaji kupata ofa nzuri!

Itasaidia pia kuanzisha uhusiano wa kuaminiana kati ya watumiaji wote kwenye jukwaa.

Kumbuka: Ikiwa haujapata kile unachotafuta, Chapisha Tangazo lako na uweke alama aina: 'INATAFUTWA'. CHAPISHA HAPA

 

Mahali:

Kigamboni Kibada, Dar es salaam Tanzania

    Andika maoni

    Chagua Faili Chagua Faili
    Vidokezo vya usalama kwenye UMOJAAA
    1. Wakati wote kukutana uso kwa uso - Kwenda na mtu pamoja nawe, pia kukutana katika mahali pa umma. Ikiwa muuzaji anakuja nyumbani kwako au mahali pa kazi, panga kuwa na mtu na umwombe mnunuzi akuonyeshe kitambulisho.
    2. Usiwahi kutuma pesa kwa njia ya waya, kidijitali kwa mtu usiyemjua au kumwamini.
    3. Kagua bidhaa kila wakati kabla ya kukubali mauzo.
    4. Tumia akili. Ikiwa kitu kinasikika kuwa kizuri sana kuwa kweli - labda ni sahihi, kwa hiyo kaa mbali nacho.
    5. Ni imani yetu kuwa aina hizi za uhamishaji fedha mitandaoni hupendelewa na walaghai, kwa hivyo usiihatarishe.
    6. Tumia akili kila wakati: Maelezo Zaidi. jinsi ya kukaa salama kwenye Soko la dijiti la UMOJAAA, BOFYA HAPA
    Android App
    Android App
    Juu