Inapakia…
0 0 Maoni
Waliotazama: 120

NYUMBA YA Ghorofa 2 INAUZWA, KIGAMBONI KIDABA

Real Estate: Hoteli, Ukodishaji na Mauzo > Uuzaji wa Makazi > Mali inayouzwa

Udhamini N/A

  • Kigamboni Kibad...Tazama ramani
  • Ilichapishwa mnamo 14 September 2024

ID: 43472

  • Aina: Sell

Maelezo:

NYUMBA YA Ghorofa INAUZWA, KIGAMBONI KIDABA

Ukubwa wa eneo ni 900 sqm

Hati ya Wizara

Vyumba vinne (4) vya kulala vyote ni master

Kuna nyumba ya watumishi yenye vyumba 2, jiko la nje na stoo

Inayo jikoni, sebule, balcony 3, stoo

Bei ya ghorofa ni TSh 650,000,000/-(milioni 650)

Nyumba iko kwenye barabara kuu

Kwa Kuangalia na maelezo zaidi, Jisikie Huru Kuwasiliana

Kwa maelezo zaidi na mazungumzo Tafadhali, wasiliana nami kwa mojawapo ya mbinu zinazotolewa na UMOJAAA kwenye ukurasa huu wa chapisho.

USALAMA KWA WOTE : LAZIMA INGIA AKAUNTI OR JISAJILI ILI KUPATA NAMBA YA SIMU!

Taja UMOJAAA unapompigia simu muuzaji kupata ofa nzuri!

Itasaidia pia kuanzisha uhusiano wa kuaminiana kati ya watumiaji wote kwenye jukwaa.

Kumbuka: Ikiwa haujapata kile unachotafuta, Chapisha Tangazo lako na uweke alama aina: 'INATAFUTWA'. CHAPISHA HAPA

 

Mahali:

Kigamboni Kibada, Dar es salaam Tanzania

    Andika maoni

    Chagua Faili Chagua Faili
    Vidokezo vya usalama kwenye UMOJAAA
    1. Wakati wote kukutana uso kwa uso - Kwenda na mtu pamoja nawe, pia kukutana katika mahali pa umma. Ikiwa muuzaji anakuja nyumbani kwako au mahali pa kazi, panga kuwa na mtu na umwombe mnunuzi akuonyeshe kitambulisho.
    2. Usiwahi kutuma pesa kwa njia ya waya, kidijitali kwa mtu usiyemjua au kumwamini.
    3. Kagua bidhaa kila wakati kabla ya kukubali mauzo.
    4. Tumia akili. Ikiwa kitu kinasikika kuwa kizuri sana kuwa kweli - labda ni sahihi, kwa hiyo kaa mbali nacho.
    5. Ni imani yetu kuwa aina hizi za uhamishaji fedha mitandaoni hupendelewa na walaghai, kwa hivyo usiihatarishe.
    6. Tumia akili kila wakati: Maelezo Zaidi. jinsi ya kukaa salama kwenye Soko la dijiti la UMOJAAA, BOFYA HAPA
    Android App
    Android App
    Juu